- Hii inaweka wazi namna ambavyo Uislamu umetangulia kuleta ustaarabu katika adabu na usafi kabla ya watu wengine.
- Kuepuka mambo machafu, ikiwa hakuna budi basi afanye kwa mkono wa kushoto.
- Kumebainishwa utukufu wa mkono wa kulia, na ubora wake juu ya mkono wa kushoto.
- Ukamilifu wa sheria ya Uislamu na kuenea mafundisho yake kila nyanja.