- Hekima ya kufanya hilo ni kuitukuza Al-Kaaba tukufu na kuiheshimu.
- Kuomba msamaha kwa Allah baada ya kutoka mahali pa kukidhi haja.
- Uzuri wa mafundisho ya Mtume rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake; Kwa sababu alipoeleza lililokatazwa akaelekeza linalofaa.