- Ibada hazielekezwi ila kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu pekee.
- Ubora wa tauhidi, nakuwa atakayekufa katika tauhidi ataingia peponi, hata kama ataadhibiwa kwa baadhi ya madhambi yake.
- Hatari ya ushirikina, nakuwa atakayekufa katika ushirikina ataingia motoni.