- Haki huwa haiachwi kwa sababu ya maneno ya watu.
- Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- anamiliki uongofu wa ufahamishaji na uelekezaji na siyo uongofu wa kukubaliwa.
- Ni katika sheria kumtembelea Kafiri akiwa mgonjwa kwa ajili ya kumlingania katika uislamu.
- Pupa ya Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- katika kulingania kuelekea kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa hali yoyote.