- Inafaa kuapa bila kutakwa kuapa; ili kuitia mkazo habari hata kama ni ya jambo la baadae.
- Inajuzu kutojipa uhakika kwa kusema “Mwenyezi Mungu akipenda” baada ya kiapo, ikiwa kutafanywa kwa nia na kiapo na kukaunganishwa nacho, basi kafara haitohitajika kwa mwenye kuvunja kiapo chake.
- Himizo la kuvunja kiapo ikiwa ataona jambo bora kuliko hilo, na atatoa kafara ya kiapo chake.