- Kumebainishwa utukufu wa Qur'ani, nakuwa ndio maneno bora; kwani ni maneno ya Allah.
- Mwanafunzi bora ni yule anayefundisha wengine, hatosheki kujifunza mwenyewe pekee.
- Kujifunza Qur'ani na kuifundisha kunakusanya, kuisoma na maana yake na hukumu zake.