- Vitisho vikali vya kuingizwa motoni kwa mwenye kujifunza elimu ili ajifaharishe au ajadiliane kwa elimu yake au aonekane kuwa ni mtu bora kwenye vikao na mfano wa hayo.
- Umuhimu wa kuitakasa nia kwa kila mwenye kuitafuta elimu na kuifundisha.
- Nia ni msingi wa matendo, na kwa kupitia nia ndipo hupatikana malipo.