- Uwajibu wa kula kwa mkono wa kulia, na uharamu wa kula kwa mkono wa kushoto.
- Kiburi katika kutekeleza hukumu za sheria mwenye kufanya hivyo anastahiki adhabu.
- Ukarimu wa Mwenyezi Mungu kwa Nabii wake Muhammadi Rehema na amani ziwe juu yake kwa kujibu maombi yake.
- Sheria ya kuamrisha mema na kukataza maovu kwa kila hali hata wakati wa chakula.