- Ukarimu wa Allah Mtukufu, ametoa fadhila zake kwa riziki na kisha akaridhia shukurani.
- Radhi za Allah hupatikana kwa sababu nyepesi, kama kushukuru baada ya kula na kunywa.
- Katika adabu za chakula na kinywaji: Ni kumshukuru Allah Mtukufu baada ya kula na kunywa.