- Nikuwa sadaka haishii tu katika vile anavyovitoa mtu katika mali yake, bali inajumuisha kila kheri anayoifanya mwanadamu au kuitamka na kuifikisha kwa wengine.
- Hapa kuna himizo la kutenda wema, na kila jambo lenye manufaa kwa wengine.
- Kutodharau kitu katika wema, hata kama ni kidogo.