- Himizo la kumuiga Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- katika kujipamba kwake na tabia za Qur'ani.
- Kusifiwa kwa tabia za Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-, nakuwa tabia hizo zilikuwa zikitoka katika taa ya wahyi.
- Qur'ani ndio chimbuko la kila tabia njema.
- Tabia katika Uislamu zinakusanya dini yote, kwa kutekeleza maamrisho na kuacha makatazo.