/ Punguzeni sharubu na mfuge ndevu

Punguzeni sharubu na mfuge ndevu

Imepokewa kutoka kwa Bin Omar -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na baba yake- kutoka kwa Mtume Rehema na amani ziwe juu yake-amesema: "Punguzeni sharubu na mfuge ndevu".
Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim

Ufafanuzi

Anaamrisha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kupunguza sharubu na zisiachwe bali zipunguzwe, na azidi kupunguza zaidi. Na pamoja na hilo anaamrisha kufuga ndevu na kuziacha zikichanua.

Hadeeth benefits

  1. Uharamu wa kunyoa ndevu.