- Uharamu wa kuwaingilia nyuma wanawake.
- Kustarehe na mke sehemu yoyote katika mwili wake isiyokuwa nyuma inafaa.
- Muislamu anamuingilia mwanamke katika tupu yake ya mbele kama alivyomuamrisha Mwenyezi Mungu; na ama kwa nyuma kuna kuharibu maumbile, na kupoteza kizazi, na kwenda kinyume na asili salama ya viumbe hai, na kuna madhara makubwa kati ya wanandoa.