- Pupa ya Maswahaba juu ya kutaka kujua haki zilizo juu yao na kuzitekeleza kwao kwa wengine, na kujua haki zao pia.
- Uwajibu wa kutoa matumizi na mavazi na makazi kwa mwanamke juu ya mume wake.
- Katazo la kutoa kasoro ya kimaumbile ima kwa maana au kwa wazi.
- Katika machafu yaliyokatazwa ni kusema: Wewe unatoka katika kabila chafu, na unatoka katika familia mbaya, au mfano wa hayo.