- Fadhila za usiku wa cheo, na himizo la kusimama ndani yake.
- Matendo mema hayakubaliki isipokuwa kwa nia ya dhati na ya kweli.
- Fadhila za Allah na huruma yake, kwani mwenye kusimama usiku wa cheo kwa imani na kwa kutaraji malipo husamehewa madhambi yake yaliyotangulia.