Siku Ya Arafa

Siku Ya Arafa

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Qasim Mafuta
Maelezo:
Mada hii inazungumzia Siku ya Arafa, ubora wake, nakwamba Allah anashuka na kuwasogelea kwa waliosimama katika viwanja vya Arafa, na Allah anajifakhari kwa malaika, na yanayo takiwa kufanywa nawale ambao hawako katika viwanja vya Arafa.