Nasaha Kwa Mahujaji

Nasaha Kwa Mahujaji

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Yasini Twaha Hassani
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kutekeleza ibada ya Hijja na kwamba ni miongoni mwa ibada bora na nguzo ya tano ya Uislam, pia imezungumzia yanayofanya Hijja iwe sahihi ikiwemo kujifunza utaratibu wa Hijja, ikhlasi na kufuata sunna za Mtume (s.a.w)