Adabu Za Safari Ya Kuelekea Hijjah Na Umra

Adabu Za Safari Ya Kuelekea Hijjah Na Umra

Play
معلومات المادة باللغة العربية

Adabu Za Safari Ya Kuelekea Hijjah Na Umra

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Yasini Twaha Hassani
Maelezo:
Mada hii inazunguzia: Ubora wa kutia nia thabiti katika safari ili kupata malipo ya safari na malipo ya ibada ya Hijja, pia imezungumzia miongoni mwa sunna za safari kama vile kusoma dua mwanzo na mwisho wa safari kama alivyo fundisha Mtume (s.a.w)