Umuhimu Wa Ibada Ya Hijja Katika Uislam

Umuhimu Wa Ibada Ya Hijja Katika Uislam

Play
معلومات المادة باللغة العربية

Umuhimu Wa Ibada Ya Hijja Katika Uislam

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Yasini Twaha Hassani
Maelezo:
1- Mada hii inazunguzia: Umuhimu na nafasi ya Hijja katika Uislam na kwamba Hijja ni wajibu na inatekelezwa kwa ajili ya Allah peke yake, pia imezungumzia ruhusa aliyoitoa Mtume (s.a.w) ya kumfanyia Mzazi Hijja. 2- Mada hii inazunguzia: Umuhimu wa hija na umuhimu wa kuwafanyia hija wazazi walio fariki, na kuwafanyia wema wazazi kwa kuwawekea waqfu, na amezungumzia nyakati za hijja pia amebainisha ubora wa kuhiji ukiwa kijana.