Matendo katika siku za mina (Tashriq) 1

Matendo katika siku za mina (Tashriq) 1

Play
معلومات المادة باللغة العربية

Matendo katika siku za mina (Tashriq) 1

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Yasini Twaha Hassani
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Matendo yanayofanywa katika siku za Minah (ayyamu Tashriq) na namna ya kurusha mawe (Jamarat) pia imezungumzia umuhimu wa kulala mina kama alivyofanya Mtume (s.a.w) na ubora wa kujiepusha na uzushi.