Matendo katika siku za mina (Tashriq) 2

Matendo katika siku za mina (Tashriq) 2

Play
معلومات المادة باللغة العربية

Matendo katika siku za mina (Tashriq) 2

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Yasini Twaha Hassani
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayofanywa katika siku za Minah nayo: kurusha mawe na kunyoa nywele nakuchinja, kisha amebainisha wakati anaotakiwa alhaji kuvuwa ihram, na inatakiwa kwa alhaji kukithirisha kumtaja Allah.