Fadhila za Ibada ya Hijja

Fadhila za Ibada ya Hijja

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Yusufu Abdi
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Fadhila za Hijja na mapenzi ya Allah kwa waja wake na kwamba mwenye kufanya Hijja ya kweli malipo yake ni pepo, pia imezungumzia Hijja ni mazingatio kwa waja ili watu wasibaguane na wala wasidharauliane.