Miezi Maalum Ya Hijja

Miezi Maalum Ya Hijja

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Abuu Hashim Abdulqaadir
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuitekeleza nguzo ya Hajj, wanaopaswa kuitekeleza na namna ya kuitekeleza, pia imezungumzia miezi maalum ya Hajj kama ilivyotajwa katika Qur’an tukufu ambayo ni Shawwal, Dhul-Qaada na Dhul-Hijja